Km utapata fursa ya kumuuliza mwenyekiti wa ccm-Taifa,kabla ya jumapili kwamba ccm itashinda mwaka huu!!?? Ukipata jibu,njoo tena uandike hapa. Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita ktk tundu la sindano kuliko ccm kushinda uchaguzi mwaka huu.Magufuli atosha.,huyu ndio Kiongozi wetu wa awamu ya Tano,mchapa kazi,mzalendo,mwadilifu na ni kiongozi wetu wa awamu ya 5.
Atoshe kwa kura za wananchi na sio atosheshwe na mabomu pamoja nba risasi!Magufuli atosha.,huyu ndio Kiongozi wetu wa awamu ya Tano,mchapa kazi,mzalendo,mwadilifu na ni kiongozi wetu wa awamu ya 5.
ukiona mahali zimetapakaa bendera za ccm,ujue wameanza kuzitoa kwanza bendera za ukawa..! Ccm wanatumia mabavu na fedha kuweka bendera zao.Utakuwa umechagua sehemu ya kupiga picha au hujapita sehemu nyingine za jiji kwa sababu kuna sehemu zingine ni bendera ya CCM ndiyo inayotawala.
Utakuwa umechagua sehemu ya kupiga picha au hujapita sehemu nyingine za jiji kwa sababu kuna sehemu zingine ni bendera ya CCM ndiyo inayotawala.
Magufuli atosha.,huyu ndio Kiongozi wetu wa awamu ya Tano,mchapa kazi,mzalendo,mwadilifu na ni kiongozi wetu wa awamu ya 5.
Hii nayo hoja kweli kweli..!Acheni ujinga nyinyi manyumbu wa CCM. Muadilifu awe Magufuli?? Hawezi kuwa na sifa hiyo kamwe. Mtu anazunguka ktk campaign zaidi ya mwezi lkn anaendelea kupokea mshahara na marupurupu yote ya uwaziri. Anayebisha alete fact juu ya hili. Pambafu zenu nyinyi.