chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,695
- 4,949
Hizi tabia za kuvamia Uzi kwa matusi bila kujibu hoja walikuwa nazo CCM tukiwabana humu ....siku hizi tunatia aibu tu kwa kukomenti kimipasho kama enzi za Msalani akiwa CCM ......kateni issue kama zamani ....hili ndio tatizo la kukengeuka ulimi ....Wahaya wana msemo "mwanaume hugeuka kitandani si ulimi"
Mhaba yaliyonyang'anya Haki ya kushiriki siasa
Cc;
Dakitari sikalaaa MTAZAMO idawa
Cheza mtoto wa kihaya ww
Last edited by a moderator: