TASAF walamba TZS383bn

Ivi si wafanye research waone kama hizi hela zina Tija.
Sasa kumpa mtu mwenye watoto 6 elf 70 kwa mwez inasaidia nini.
Izo hela si bora wajenge barabara
Hizo hela zinaliwa na hao hao viongozi wanaozitoa fatilia utajua Mimi nimewahi kula hizo hela bila kujua kuwa ni za Tasaf
 
Kila Kona mama anatikisa
 
Tzs383billion za serikali au za Samia? Ina maana mama ametoa pesa zake mfukoni au ni za serikali zinazotokana na kodi yetu??????
 
Hivi hizo barabara zinazonjengwa hata kabla ya ukoloni Hadi Sasa na haziishi ni za za aina Gani?
 
Masikini ili wapate hizo hela ni lazima wawe na kadi ya ccm
 
kazi nzuri
 
HONGERA ZAO
 
si kweli
 
Safi sana hata hivyo
 
Haya ndiyo mambo matatu makubwa aliyoyafanya Rais Samia:


  1. Kufungua Tanzania Kimataifa – Ameimarisha diplomasia ya kiuchumi na kuvutia uwekezaji mkubwa kutoka ndani na nje ya nchi, akifanya Tanzania kuwa kitovu cha kibiashara na maendeleo kikanda.
  2. Kuimarisha Uchumi na Miundombinu – Ameendeleza miradi mikubwa ya kimkakati kama reli ya kisasa (SGR), bwawa la Julius Nyerere, na upanuzi wa bandari na viwanja vya ndege, hatua ambazo zimeongeza ajira na kuchochea uchumi.
  3. Kuboresha Huduma za Jamii – Amewekeza sana kwenye elimu bila ada, afya kwa kuongeza vituo na huduma za kisasa, pamoja na maji safi na nishati vijijini, hivyo kuboresha maisha ya wananchi moja kwa moja.
 
Deni la taifa linaonyesha Kila mtanzania anadaiwa million 8 umefikia wapi kulipa deni lako?
madeni lazima yawepo ata marekani ana madeni mengi bila ivo kodi ipandishwe labda
 
TZS383bn za Rais Samia? Kwamba Samia ana kitenga uchumi ambacho kinampa hizi pesa? Amezitolea hizi pesa wapi? Au ndio Pesa za wananchi zimeshakuwa zake? Samia hana uwezo wa kuzalisha bilioni 383! Hizi ni fedha za wananchi sio Samia.
 
Km namuona mzee fulani, atakavyomalizia ile mansion yake,
Na wale mapacha wa mchepuko awapeleke huko 🇮🇳 wakasome Udaktari.

Watu wanakula pesaa bhanaa. Lol
Nilitaka kuandika ila umeniwakilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…