TASAF post

TASAF post

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,361
Reaction score
6,966
Kuna yeyote aliyeitwa usaili Wa TASAF walitangazaga nafasi za kazi last month
 
watu wameshaitwa kazini tangu jana walipost mbona
 
Mnauliza humu kwani mlileta tangazo humu? Km hamku share na wengine basi tulieni na sasa pia!!

Mm sijui lolote labda wanaojua watawaleteeni habari!!
 
Waajiri nao siku hizi hawaeleweki.

Hawa tasaf walisema wataita baada ya siku 14 ila wamekuja kuita baada ya mwaka kupinduka...........baada ya miezi zaidi ya mitano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom