2015ready JF-Expert Member Joined Feb 15, 2011 Posts 383 Reaction score 140 Dec 4, 2015 #1 Msaada. Naomba tafasiri ya neno "kaya masikini" Na vigezo gani hutumika kuamua kuwa kaya hii ni masikini?
Msaada. Naomba tafasiri ya neno "kaya masikini" Na vigezo gani hutumika kuamua kuwa kaya hii ni masikini?
Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Joined Aug 9, 2007 Posts 19,020 Reaction score 9,177 Dec 4, 2015 #2 Hwa jamaa wanaotembea na One ten New Model hizo full raha na Viyoyozi ?
komamgo JF-Expert Member Joined Sep 14, 2012 Posts 1,757 Reaction score 1,485 Dec 4, 2015 #3 Kuna shida kubwa sana huko TASAF. Walengwa wengi hawajafikiwa.
S SOBIBO Senior Member Joined Aug 2, 2010 Posts 103 Reaction score 31 Dec 4, 2015 #4 Kafanye research ndio uje hapa...
G gogo la shamba JF-Expert Member Joined Mar 1, 2013 Posts 6,669 Reaction score 2,165 Dec 4, 2015 #5 kuna kaya inalala mbele ya milango ya uwanja wa mpira wa sheikh Amri Abeid pale Arusha kwa nini TASAF wasiende kuwasaidia?
kuna kaya inalala mbele ya milango ya uwanja wa mpira wa sheikh Amri Abeid pale Arusha kwa nini TASAF wasiende kuwasaidia?