Kulikoni TARURA WILAYA mpya ya ubungo mbona mmesinzia?!
Tangu billion 14 zilipo tolewa kwa wakandarasi Kwa ajili ya kuanza kazi ya ujenzi wa barabara ZA mitaa, wananchi wanaona kimya kimetanda! Kulikoni!
Maeneo ya pembezoni mwa mji kama vile maeneo ya Kiluvya POLISI GOGONI hadi HONDOGO barabara ni mbovu sana na wala hakuna dalili ya mkandarasi wala nini.
Maeneo ya pembezoni ni muhimu sana yakazingatiwa zaidi. Chondechonde msimuangushe Mhe. Rais wetu Samia ambaye amedhamiria.
Wizara ya TAMISEMI amkeni changamkeni, fuatilieni matumizi ya pesa hizi za watanzania Kwa karibu.
Tangu billion 14 zilipo tolewa kwa wakandarasi Kwa ajili ya kuanza kazi ya ujenzi wa barabara ZA mitaa, wananchi wanaona kimya kimetanda! Kulikoni!
Maeneo ya pembezoni mwa mji kama vile maeneo ya Kiluvya POLISI GOGONI hadi HONDOGO barabara ni mbovu sana na wala hakuna dalili ya mkandarasi wala nini.
Maeneo ya pembezoni ni muhimu sana yakazingatiwa zaidi. Chondechonde msimuangushe Mhe. Rais wetu Samia ambaye amedhamiria.
Wizara ya TAMISEMI amkeni changamkeni, fuatilieni matumizi ya pesa hizi za watanzania Kwa karibu.