Mpendwa Rais Dr Suluhu Hasan mwaka Jana mwishoni alisaini Mikataba mikubwa na mipana ya kujenga na kukarabati Barabara zote zinazohudumiwa na TARURA Tanzania nzima.
Hususan makampuni ya wazawa yalisaini Mikataba hiyo ambayo umma waliamini Tanzania tumepiga hatua kubwa.
Sio kificho Barabara zilizokusudiwa na kupata wakandarasi na kupatiwa fedha karibu zote zimebomoka hazipitiki. Madaraja yamebomoka, makaravati yamesombwa na maji tatizo yameanza upya.
Sasa TARURA na Tanroads Mtamweleza nini Mheshimiwa Rais, WM, KMCCM nk?
Hususan makampuni ya wazawa yalisaini Mikataba hiyo ambayo umma waliamini Tanzania tumepiga hatua kubwa.
Sio kificho Barabara zilizokusudiwa na kupata wakandarasi na kupatiwa fedha karibu zote zimebomoka hazipitiki. Madaraja yamebomoka, makaravati yamesombwa na maji tatizo yameanza upya.
Sasa TARURA na Tanroads Mtamweleza nini Mheshimiwa Rais, WM, KMCCM nk?