Za jumapili banduguz, naelekea tarime cku ya leo, nachoitaji hapa ni maelezo ya juu ya mji wa tarime kama hotel iliyo salama, sehemu nzuri ya kupata chakula, mahala pa kujirusha ctapenda cause tarime naiogopa kutokana na mauaji nayoyasikia, ni hayo 2
Asanteni sana ma great thinker, nipo kwenye zakaria bus ila inakimbia hadi naogopa asee
Du for me, hakuna eneo ambalo linatia shaka kuishi kama Tarime ni bora ukafuata ushauri wa kwamba ukienda huko starehe zote weke pembeni, hawo jamaa wamekuwa kama nini sijui mauaji ni sehemu ya tamaduni zao, kwa bahati mbaya ukachukua demu wa mtu kifo nje nje, ukatofautiana kidogo na mtu umekwisha, kama wenyeji wanafanyiana hivyo inakuwaje kwa mgeni, sio sehemu ya kuishi otherwise umelazimishwa kwenda kikazi, mimi nilikuwa na mpenzi wangu wa huko baada kupata matukio ya huko nimeshamuweka pembeni sipendi kabisa kuchangamana na hii jamii, kwa sababu naweza kukolofishana naye shemeji zangu wakaja kuniua bure, sometimes wana hulka ya kuua mtu with minor reasons, na kusema vyombo vya habari vinakuza sio kweli kwa sababu tunaona matukio kwa picha na watu tunaona walivyojaa kuangalia tukio. Haiingii akilini kwamba kweli vyombo vya habari vinakuza. Na hayo ni matukio machache ambayo tunayasikia, nakumbuka kuna mwanamke mmoja alikatwa mikono kwa sababu ya kuachia kitoweo (Kuku) kuliwa na paka.
Du for me, hakuna eneo ambalo linatia shaka kuishi kama Tarime ni bora ukafuata ushauri wa kwamba ukienda huko starehe zote weke pembeni, hawo jamaa wamekuwa kama nini sijui mauaji ni sehemu ya tamaduni zao, kwa bahati mbaya ukachukua demu wa mtu kifo nje nje, ukatofautiana kidogo na mtu umekwisha, kama wenyeji wanafanyiana hivyo inakuwaje kwa mgeni, sio sehemu ya kuishi otherwise umelazimishwa kwenda kikazi, mimi nilikuwa na mpenzi wangu wa huko baada kupata matukio ya huko nimeshamuweka pembeni sipendi kabisa kuchangamana na hii jamii, kwa sababu naweza kukolofishana naye shemeji zangu wakaja kuniua bure, sometimes wana hulka ya kuua mtu with minor reasons, na kusema vyombo vya habari vinakuza sio kweli kwa sababu tunaona matukio kwa picha na watu tunaona walivyojaa kuangalia tukio. Haiingii akilini kwamba kweli vyombo vya habari vinakuza. Na hayo ni matukio machache ambayo tunayasikia, nakumbuka kuna mwanamke mmoja alikatwa mikono kwa sababu ya kuachia kitoweo (Kuku) kuliwa na paka.
Acha uongo! Unaongea kwa experience au kwakusikia? Mi siyo mkurya ila nimefanya kazi Tarime na nimeishi huko for almost two years! My heart is still with people of Tarime. They are very social and kind. Nawakumbuka sana watu wa Tarime and I hope one day nitawatembelea! Acha kabisa kukuza mambo usiyoyafahamu! Tarime kuna watz kama walioko maeneo mengine ya Tanzania!
Jumapili Njema!
Sawa ndugu ila habari ya Tarime watu wengi wanajua haina haja kujadili sana, lakini hata uongozi wetu wetu wa juu unalifahamu hilo ushahidi ni juzi tu, waziri alitamka kwa kinywa chake kwamba kama sakata la gas Mtwara lingetokea Mara (Tarime) sijui ingekuwaje? Huo ni ushahidi tosha wa kutilia shaka jamii hiyo.Umepamba sana na uwenda huyo demu wako wa kikurya alionyesha msimamo wake ndo ukawachukia wakurya lakini akuna kitu kama hicho akuna sehemu nzuri kama tarime na jaribu kufanya utafiti watumishi wengi wanao letwa hapa tarime wakimaliza kulitumikia taifa na kustaafu wakiwa hapa huwa awapendi kuondoka hapa tarime na kujenga wamejenga wengi sana mfano mzuri nakupa hakimu aliyestafuu miaka miwili iliyopita mchaga anaitwa marya kajenga tarime na anaishi tarime pasipo hata kujali kuwa alifunga watu wengi sana na wengine bila sababu za msingi.
Kwa hyo tarime ni sehemu nzuri sana ya kuishi na usalama ni mwingi.
Lakini umezungumzia ikitokea umechukua mke wa mtu hilo ni kosa na kwa kawaida akuna mtu anapenda dhalau uwezi nichukulia mwanamke alafu ukawa unakuja kunionyoshea dhalau hapo atutaelewana ndugu yangu
Sehemu yeyote ukienda ukaishi kwa amani na upendo ukawa mkarimu kwa kila mtu hata watu wabaya watakupenda kwa hiyo sikushauri kuwashambulia sana wakurya wakati wakurya ndio wanaongoza kwa upendo na kuwakaribisha wageni tarime kwa moyo wa upendo bila shida.