MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Huyu ndio ameshikilia mikoba ya Tumaini Makene kwa sasa? CHADEMA ina wasemaji wengi kama kilabu cha pombe za kienyeji!Asante kwa taarifa kamanda Chademakwanza
Huyu ndio ameshikilia mikoba ya Tumaini Makene kwa sasa? CHADEMA ina wasemaji wengi kama kilabu cha pombe za kienyeji!Asante kwa taarifa kamanda Chademakwanza
Asante kwa taarifa kamanda Chademakwanza
Huyu ndio ameshikilia mikoba ya Tumaini Makene kwa sasa? CHADEMA ina wasemaji wengi kama kilabu cha pombe za kienyeji!
Taarifa kwa Umma.....
Idara ya sanaa Chadema Taifa kwa sasa iko ziarani nyanda za juu kusini mikoa ya Njombe Mbeya Songea, ziara hii imepewa jina la
"IMBA UKOMBOZI".
Ieleweke idara ya sanaa ya Chadema inawasanii wengi karibu kila mkoa.
Ziara hii ya idara ya sanaa inamalengo ya kuhamasisha vijana kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura punde zoezi litakapoanza, lengo la pili kuwahamasisha kuimba nyimbo za ukombozi.
Imetolewa na idara ya sanaa Chadema Taifa
Toka lini mchepuko wa ccm ukawa Chadema? Kawadanganye Fisi siyo waelewa kama sisiMimi nilishawakimbia, siku hizi nipo ACT~Tanzania...nakula Asali na Maziwa...baki zenu na NGO ya Mtei na Mbowe. Eti bajeti pia tuweke pensheni na posho za Muasisi wa Chama ndugu Mtei, kila mwezi najiuliza Tshs. 3 Milioni zinakwenda wapi na hakuna PAYE yeyote inayopelekwa TRA, kumbe Mtei bhana, kisa Muasisi...dah!
Sasa mkuu hamkuendanae Njombe na Makambako ? mnaona mumeacha na njaa huku wenzenu wamekuja nakumchukua na kumpa cheo
Taarifa kwa Umma.....
Idara ya sanaa Chadema Taifa kwa sasa iko ziarani nyanda za juu kusini mikoa ya Njombe Mbeya Songea, ziara hii imepewa jina la
"IMBA UKOMBOZI".
Ieleweke idara ya sanaa ya Chadema inawasanii wengi karibu kila mkoa.
Ziara hii ya idara ya sanaa inamalengo ya kuhamasisha vijana kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura punde zoezi litakapoanza, lengo la pili kuwahamasisha kuimba nyimbo za ukombozi.
Imetolewa na idara ya sanaa Chadema Taifa
tumain mshamfukuza?mana wachaga hamkawii mkiguswa tu mnakuja na ishu ya usalit,hasa ukiulizia ruzuku