Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
- Thread starter
- #21
Mbona unaweka visivyo fanana umevurugwa?
Safi sana makamanda wa idara ya Sanaa.
Huu ni wakati wa kutumia silaha zote kuleta ukombozi
Siasa za Tanzania zimegubikwa na gilba ya maslahi kiasi kwamba mwanachama wa CHADEMA anaweza kuhamia CCM ikiwa malengo yake fulani ya yatatimia. Anaweza kuhama CUF kuhamia ACT ikiwa kuna fursa ya kupata madaraka na sehemu aliko wamesheheni watu wengi hivyo kupata cheo mtiti wake sio kitoto.
Ndio maana tukahitaji MGOMBEA BINAFSI ihuhishwe kusudi kuepusha unafiki wakutumikia chama cha kibepari miaka 10 ukilipwa mishahara na posho, na unaamia chama cha kijamaa nakudai sasa upo chama kinachoendana na mtazamo wako.
Hizi RUZUKU sharti masharti yaongezwe au zipungue, nasikia hata chama cha Dovutwa kila mwezi anapokea kalaki tisa kutokana na KODI ZETU WANANCHI
Ukombozi wa wtz
Mbona unaweka visivyo fanana umevurugwa?
Asante Sana Makamanda tuko pamoja, mkitoka huko mje mtuimbishe kanda ya kati ikiwezekana... chilihamonga muno wawaha!
unasubil kuimbishwa
Thanks Commander!!
Hakika kamanda Tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na MunguAcheni wataka vyeo waende act na wataka ukombozi wa wote wabaki ukawa.
Hakika kamanda Tumeanza na Mungu tupo na Mungu na tutamaliza na MunguAcheni wataka vyeo waende act na wataka ukombozi wa wote wabaki ukawa.