Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Taarifa kwa Umma.....
Idara ya sanaa Chadema Taifa kwa sasa iko ziarani nyanda za juu kusini mikoa ya Njombe Mbeya Songea, ziara hii imepewa jina la
"IMBA UKOMBOZI".
Ieleweke idara ya sanaa ya Chadema inawasanii wengi karibu kila mkoa.
Ziara hii ya idara ya sanaa inamalengo ya kuhamasisha vijana kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura punde zoezi litakapoanza, lengo la pili kuwahamasisha kuimba nyimbo za ukombozi.
Imetolewa na idara ya sanaa Chadema Taifa
Idara ya sanaa Chadema Taifa kwa sasa iko ziarani nyanda za juu kusini mikoa ya Njombe Mbeya Songea, ziara hii imepewa jina la
"IMBA UKOMBOZI".
Ieleweke idara ya sanaa ya Chadema inawasanii wengi karibu kila mkoa.
Ziara hii ya idara ya sanaa inamalengo ya kuhamasisha vijana kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura punde zoezi litakapoanza, lengo la pili kuwahamasisha kuimba nyimbo za ukombozi.
Imetolewa na idara ya sanaa Chadema Taifa