Internet-Money
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 623
- 1,319
Ni kwa zaidi ya miezi sita sasa namba za huduma kwa wateja za TARI za kanda zote hazipatikani.
Pili website ya TARI kuto-update uwepo wa mbegu mpya unaweza ukakuta mbegu mpya kwenye PDF ila kwenye website haja update ndani ya mwaka sasa
Pia Tantrade walikuwa wanaweka bei za bidhaa kama mbogamboga : Bamia na Bilinganya
Ila kwa sasa wanaweka bei ya bidhaa chache ambazo bei hizo unaweza kuzikuta kwenye kilimo.go.tz
Vituko zaidi utavipata ukipiga namba za wizara ya kilimo
Kuna matatizo mengi kwenye sekta ya kilimo kwa mfano: zaidi ya mwaka sasa natafuta mbegu za maharage pale TARI lakini imekuwa ngumu
Pili website ya TARI kuto-update uwepo wa mbegu mpya unaweza ukakuta mbegu mpya kwenye PDF ila kwenye website haja update ndani ya mwaka sasa
Pia Tantrade walikuwa wanaweka bei za bidhaa kama mbogamboga : Bamia na Bilinganya
Ila kwa sasa wanaweka bei ya bidhaa chache ambazo bei hizo unaweza kuzikuta kwenye kilimo.go.tz
Vituko zaidi utavipata ukipiga namba za wizara ya kilimo
Kuna matatizo mengi kwenye sekta ya kilimo kwa mfano: zaidi ya mwaka sasa natafuta mbegu za maharage pale TARI lakini imekuwa ngumu