Goodhope078
Member
- Mar 8, 2017
- 70
- 23
Wakuu ningeomba tena mwenye anajua tarehe ya kuripoti UDOM anisaidie tafadhari
Angalia admission letter yakoWakuu ningeomba tena mwenye anajua tarehe ya kuripoti UDOM anisaidie tafadhari
Poa ngoja nijarbuAngalia admission letter yako
Yani hata third selection bado
Kama mentality ya chuo ni bata .. basi wakae wakijua kuna kuku jike anakunywa SUP'u na jogoo anaitwa DISCOWatu wana hamu na bata za chuo mkuu mtaani kunachosha
Kama mentality ya chuo ni bata .. basi wakae wakijua kina kuku jike anakunywa SUP'u na jogoo anaitwa DISCO
Haje tu maana bata zipo kama SUP, CARRY OVER Na DISCOWatu wana hamu na bata za chuo mkuu mtaani kunachosha
Umenena mkuu daa, japo kwangu haijanitokea ila nina mdogo wangu pale RUCO aisee kama ulivyesema alikuwa mda wote kanisani maombi sana kusoma sana ila sasa hiv daaa hadi ananiharibia CV kaka yakeHakuna mwaka mtamu sana kama ukiwa first year kila kitu kilahisi sana kwako!
Unakuwa na ndoto nyingi sana
1.kupata gpa kubwa
2.kutopata sup
3.kuwa na malengo ya kusoma tu
4.kwenda ibadani
Ila unakuja kuanza kuwa mgumu pale unapomaliza semista ya mwisho
1.gpa kuyumba
2.sup za kutosha na dalili ya kudisco
3.malengo ya kusoma kupotea
4.kusahau ibada
5.....
Karibuni chuo kikuu, sehemu ya kila aina ya vurugu