Tarehe 5 mwezi wa 2 mwaka 2011 CCM- zanzibar

Manyanza

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
9,464
14,301
IMG00005-20110206-1039.jpg

Hii ilikuwa jana, sehemu mmoja hapa zanzibar inaitwa Kisonge, mmoja ya maskani kuu za CCM, angalia wanavyojipa moyo, wakati siku zote huku wanachakachua.....
 
Lakini si kasema kweli?, alaa. Kama hutaki panda juu ukazibe.
 
Lakini si kasema kweli?, alaa. Kama hutaki panda juu ukazibe.

nina wasiwasi wewe ndiye unayefadhili Chaki za kuandikia maneno yasiyo kua na maana pale Kisonge, na siku szote CCM wanawaza kutawala na sio kutatua kero za wananchi... na mmoja wapo ni wewe
 
nina wasiwasi wewe ndiye unayefadhili Chaki za kuandikia maneno yasiyo kua na maana pale Kisonge, na siku szote CCM wanawaza kutawala na sio kutatua kero za wananchi... na mmoja wapo ni wewe

Yes, ni mimi wala usiwe na wasiwasi: CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Lingine limeandika BILA CCM NCHI ITAYUMBA! sijui wanajisifia nini hawa kwa miaka yoote 32!??
 
Back
Top Bottom