aye
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 2,102
- 708
acha uongoNoma sana wakuu, tarehe tajwa hapo juu 31.03.2022, shirika la serikali la mawasiliano litatupiga na kitu kizito sana kichwani, wanapandisha vifurushi.
Bufee inaweza kuondolewa maana inawatia hasara tu. Toboa night HAIRUDISHWI ng'o
Si mnakumbuka tuliambiwa tuhamie Burundi tukaanza kuleta mapozi?
Sasa nyumbani kunafuka moshi.
Tujiandae kisaikolojia.
kesho tar 31 hakuna kitakachopandishwa
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app