Ahead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 2,377
- 2,675
Ongezeko vipi wakati PAYE inasemekana imepungua?ongezeko utakatwa kodi hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongezeko vipi wakati PAYE inasemekana imepungua?ongezeko utakatwa kodi hiyo
V.A.T- value added tax KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI
Mtu anae range 520,000 mpaka 760,000 atakuwa anakatwa 22,500?V.A.T- value added tax KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI
We are the same bro.Mwendo ni kujilipa tu.
Serikali inajinadi imerudisha nidhamu kwa watumishi lakini haijinadi kuwa imeboresha maslahi ya watumishi.
June 30 , 2020 nimetimiza miaka 5 katika utumishi wangu silijui daraja jipya.
Abarikiwe JK, June 30, 2015 naajiriwa , naripoti kazini August nakutana na mshahara mpya kabisa.
22,500 + 20% ya kilichozidi juu ya 520,000 mpaka 760,000.
Aha sawa22,500 + 20% ya kilichozidi juu ya 520,000 mpaka 760,000.
22500+ 20% ya kiwango kinachozidi 270,000
Uko sahihi mkuuMwendo ni kujilipa tu.
Serikali inajinadi imerudisha nidhamu kwa watumishi lakini haijinadi kuwa imeboresha maslahi ya watumishi.
June 30 , 2020 nimetimiza miaka 5 katika utumishi wangu silijui daraja jipya.
Abarikiwe JK, June 30, 2015 naajiriwa , naripoti kazini August nakutana na mshahara mpya kabisa.
Kwa nini nisimuombee maisha marefu JK?
Kama atakatwa Kodi ya 77,500 mwanzoni alikuwa anakatwa ngapi? Ili tujue kama hao watumishi mmewasaidia au mmezidi kuwaumiza?22500+ 20% ya kiwango kinachozidi 270,000
Mfano:
mwenye mshahara wa 520,000
520,000- 270,000= 250,000
20% ya sh. 250,000= 50,000
Kwahyo inakua 22,500+50,000= 77,500
Hivyo,
Kwa mshahara wa 520,000 atakatwa Kodi ya sh. 77,500
Sisi walinda mipaka yenu tumeshavuta posho yetuLeo ni tarehe 19 ya mwezi wetu pendwa wa 7 kwa watumishi wa umma,kuna badiliko lolote?
Cc wa igo tumevuta Mara mbili kabla yenu in two wksSisi walinda mipaka yenu tumeshavuta posho yetu
Sawa askari magereza.Tumia vizuri hiyo 300.Sisi walinda mipaka yenu tumeshavuta posho yetu
Askari Magereza wa huko kwenu ndio wanaolinda mipaka ?Sawa askari magereza.Tumia vizuri hiyo 300.
Zito haongeleaji vitu vyakijinga hivyo yani baada ya miaka mitano unampunguzia mtumishi kodi ili angalau ka take home kaongezeke hala unasifia!?? Kaongezeko kenyewe ni roughly 20000/ you must be a gayNi kweli PAYE imepungua na imelenga watu wa vipato vya chini kupata kipato .mfano mshahara chini ya 270,000 mwanzo ulikuwa na kodi lakini sasa kwa kinachozidi 270000 ndio unatozwa kodi.
kwa kifupi kodi mwanzo ilikuwa ikianzia Tshs 170,000.
Wakina zitto huwakuti wakiliongelea hili.
Yah! Walinzi wa mipaka ya gerezaAskari Magereza wa huko kwenu ndio wanaolinda mipaka ?

Nakwambia tanz kuna majitu mangese acha tuuKada gani serikalini anapokea mshahara wa 270000 kwa mwezi. Hiyo si mishahara ya vibarua wa Mo wabeba unga na ndoo za mafuta ya kula
Acha kudharauKada gani serikalini anapokea mshahara wa 270000 kwa mwezi. Hiyo si mishahara ya vibarua wa Mo wabeba unga na ndoo za mafuta ya kula
Sawa sawaYah! Walinzi wa mipaka ya gereza![]()
Dah kama ni hivyo basi hii ni danganya toto, kweli magu hana time na watumishi.22500+ 20% ya kiwango kinachozidi 270,000
Mfano:
mwenye mshahara wa 520,000
520,000- 270,000= 250,000
20% ya sh. 250,000= 50,000
Kwahyo inakua 22,500+50,000= 77,500
Hivyo,
Kwa mshahara wa 520,000 atakatwa Kodi ya sh. 77,500