Tarehe 19 leo payroll zinasomaje?

Tarehe 19 leo payroll zinasomaje?

Hahaaa uchumi wa kati huoooo !??? It is just arthmetics hakuna.lolote !!!!
 
Ni kweli PAYE imepungua na imelenga watu wa vipato vya chini kupata kipato .mfano mshahara chini ya 270,000 mwanzo ulikuwa na kodi lakini sasa kwa kinachozidi 270000 ndio unatozwa kodi.
kwa kifupi kodi mwanzo ilikuwa ikianzia Tshs 170,000.
Wakina zitto huwakuti wakiliongelea hili.
 
Kueni wazalendo watumish wa Umma, Kuna mambo mengi ya kufanya zaidi ya hiyo mishahara yenu
 
Namkumbuka sana Kikwete miezi kama hii...

Sio hili j$$#@$$"#i
 
Mzigo huu apa
Screenshot_20200719-191418.jpg
 
Kada gani serikalini anapokea mshahara wa 270000 kwa mwezi. Hiyo si mishahara ya vibarua wa Mo wabeba unga na ndoo za mafuta ya kula
Acha dharau kiongozi. . Mwisho wa siku kila mtu anaendesha maisha yake kwa majaliwa ya Mungu....
 
Back
Top Bottom