Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Wajameni, leo tuna sherehekea kuanza kwa mwaka mpya,lakini tofauti na sikukuu nyingine siku ya leo inasomeka kwa namna ya pekee. : 1 :1 : 11. Ni siku ya kipekee kabisa, je kuna mwenye uelewa wwt juu ya maajabu ya siku hii?, nawatakia heri na mafanikio wana jf wote ili tuendelee kupashana habari kwa upana zaidi.