Camel2
Member
- Jul 26, 2017
- 12
- 9
Naomba kufahamu iwapo kuna mtu alikuwa anasoma chuo kipo A lakini kutokana na changamoto hakuweza kumalizia kutokana na majukumu. Siwezi kuwa naendelea na Masomo katika chuo hicho nataka nikahamie sehemu iliyo karibia na sasa ni mwaka wa 4 anataka kuhama chuo chenye course zinazoendana ili kuweza kukamilisha ndoto yake.
Mfano Masomo yaliyobakia ni ya Semester ya Mwisho na ya mwaka wa mwisho.
Naomba ushauri tafadhali
Mfano Masomo yaliyobakia ni ya Semester ya Mwisho na ya mwaka wa mwisho.
Naomba ushauri tafadhali