Tapeli wa mapenzi (Stori ya kweli)

Tapeli wa mapenzi (Stori ya kweli)

Jayffa

Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
81
Reaction score
5
Peter ni kijana mwenye umri wa miaka 19,ambaye anaishi pamoja na wazazi wake wote wawili.Ni kijana anaependa sana mambo ya kileo na hasa kukaa kwenye vijiwe na marafiki ambao wapo sawa na ki umri, mara nyingi hapo kijiweni huwa mada yao kubwa sana ni kuzungumzia WASICHANA Na hata wakipita huwajadili.

Peter ni mtu anayependa masifa sana na kujigamba akiwapo na rafiki zake kijiweni.Mara nyingi hupenda kuwasimamisha wanawake kadhaa wapitapo karibu na kijiwe chao.

Siku moja Peter akiwa ame keti kijiwen akiwa na rafiki zake, alipita msichana moja aitwae HUSNA.Alimwita na kumwambia asimame,alipo simama Peter akamsogelea na kuanza kumuelezea shida yake ya kuwa anampenda na hatimaye akafanikiwa kupata namba za simu za husna.

Usiku wake Peter alimpigia Husna na kutaka kujua hatima ya jibu lake sababu aliambiwa asubiri ili afikiriwe jibu lake.

Kutokana na u Handsome alokuwa nao musa, husna hakuweza kuwa na hiyana tena juu ya kumkubali Peter kuwa wapenzi.

INAENDELEA HAPO CHINI
 
Peter akifurahi sana juu ya kujiba amekubaliwa na Husna kuwa wapenzi!
Katika mapenzi yao walikaa kwa muda wa wiki moja, husna alipata alichokuwa anakihitaji kutoka kwa Peter! kiukweli alikuwa anajisikia vizuri sana kuwa na peter! baada ya wiki ile kuisha peter alimpigia Simu husna na kumwambia wakutane kijiweni Anataka kumpa suprice nzuri sana Husna.
Kwa kuwa Husna alisha zoea kupewa anachotaka kutoka kwa peter alikubali wakutane,
Ilikuwa ni siku ya Jumaa mosi majira ya saa 12 jion kweli husna alikwenda hadi kijiweni! Kufika Alimkuta Peter akiwa anamsubiri.Walikaachini wakizungumza kwa muda wa dakika 5.Peter alimshika mikono Husna na kumnyajua juu. kisha akamwambia nifuate mimi ninapo elekea!
Peter alitangulia mbele husna akimfuta hadi kwenye chumba alichokuwa amekiandaa peter.
waliingia hadi ndani,Peter akafunga mlango kisha akaketi na Husna kitandani! Peter alianza kumwambia maneno mazito ya mahaba! husna huku akimpapasa husna mwili wake....
INAENDELEA HAPO CHINI
 
Baada ya Peter kumpapasa Husna mwili wake,akawa anamwambia wafanye Malavidavi pale.. husna hakuweza kukubali haraka haraka na badala yake akawa anagoma huku akimwambia Peter kwanin hakumtaarifu mapema Juu ya swala lile,, Peter aliduwaa kimya huku akimtumbulia macho Husna.Husna alizidi kugoma na kumwambia labda wafanye kesho yake!
peter alimbembeleza sana husna wafanye lakini aligoma kabisa.
Peter alikuwa ni mjanja sana,,,,mfukoni alikuwa na shilingi Elfu 1,500 akaamua kumlaghai Husna kuwa amsamehe kwa kuto mtaarifu. peter alimwambia husna "basi me sababu nakupenda ntakukipa elfu 15,000 Kama pesa ya usumbufu, alitoa shilingi elfu Zile 1500 na kumshikisha husna mkononi, zilikuwa ni noti tupu na ndani palikuwa ni giza san kiasi husna hakuweza kugundua kama zilipesa zilikuwa ni 1500 na sio elfu 15000 husna alilainika kabisa baada ya kupewa zile pesa mkononi.. na hatimaye alijikuta wakifanya mambo yetu yaleeeh!
wakiwa katikat ya mechi Peter alipeleka mikono hadi kwenye viganja vya husna na kuzitoa zile pesa......
 
Baada ya kuzitoa zile pesa alizompa,waliendelea kula malavidavi yao tu! peter alimpagawisha saana Husna kwa michezo hatar aliyokuwa akimpa!
ghafla walisikia mlango ukigongwa kwa nje! peter alitoka kitandani na kuelekea hadi mlangoni kufungua mlango kujua ni nani aliyekuwa anagonga! alifungua mlango na kumkuta Rafiki yake nje aitwa Festo. peter akamuuliza Festo kulikoni? festo akamwambia kwamba afanye upesi ili na yeye waingie na msichana wake.Peter akamuelewa Festo akamwambia sawa subiri dakika 10.Peter alifunga tena mlango nakurudi hadi kitandani.akamkuta Husna amekaa.
peter akamwambia Husna nyanyuka na uvaenguo zako! kweli Husna alifanya kama peter alivyo mwambia,, kisha alifungua mlango na kumwambia Husna atoke na aende hadi kijiweni amsubiri pale, husna alifanya hvyo. baada ya kuondoka husna Peter nayeye alipita njia yake na kukimbia nyumbani kwao.Husna akiwa amekaa kwa muda mwingi kijiweni bila ya Peter kutokea akaamua na yeye arudi kwao...
peter akiwa nyumbani kwao....
INAENDELEA HAPO CHINI.
 
Peter akiwanyumbani kwao, husna alimtumia ujumbe peter ulikuwa hv! "Ndo nini kuniweka pale?" Peter alijitetea kwa kumjibu "samahani mpenzi, nilikuja kuitwa na rafiki yangu kwamba baba alikuja kunifua kijiweni sasa,alivyo nikosa akawaachia maagizo rafik zangu kuwa niende nyumbani haraka san kunakitua nikachukue nipeleke kwa shangazi ndo maana sikutokea!" husna alikubali kutokana kumuamin sana Peter!
 
Mkuu nakusubieri au na ww nd Festo hadi utoke uko ghetto jokes
 
Acha hizo wewe Jayffa.. Hakuna kesho hapa malizia story hyo.
 
Last edited by a moderator:
Alafu humu ndan mmeleta ka mtindo ka kutomalizia stor hii hali inakera sana yan,
Te Amo naisubiria mpaka leo, afu na ww na mashaka na keho
 
Back
Top Bottom