Peter ni kijana mwenye umri wa miaka 19,ambaye anaishi pamoja na wazazi wake wote wawili.Ni kijana anaependa sana mambo ya kileo na hasa kukaa kwenye vijiwe na marafiki ambao wapo sawa na ki umri, mara nyingi hapo kijiweni huwa mada yao kubwa sana ni kuzungumzia WASICHANA Na hata wakipita huwajadili.
Peter ni mtu anayependa masifa sana na kujigamba akiwapo na rafiki zake kijiweni.Mara nyingi hupenda kuwasimamisha wanawake kadhaa wapitapo karibu na kijiwe chao.
Siku moja Peter akiwa ame keti kijiwen akiwa na rafiki zake, alipita msichana moja aitwae HUSNA.Alimwita na kumwambia asimame,alipo simama Peter akamsogelea na kuanza kumuelezea shida yake ya kuwa anampenda na hatimaye akafanikiwa kupata namba za simu za husna.
Usiku wake Peter alimpigia Husna na kutaka kujua hatima ya jibu lake sababu aliambiwa asubiri ili afikiriwe jibu lake.
Kutokana na u Handsome alokuwa nao musa, husna hakuweza kuwa na hiyana tena juu ya kumkubali Peter kuwa wapenzi.
INAENDELEA HAPO CHINI
Peter ni mtu anayependa masifa sana na kujigamba akiwapo na rafiki zake kijiweni.Mara nyingi hupenda kuwasimamisha wanawake kadhaa wapitapo karibu na kijiwe chao.
Siku moja Peter akiwa ame keti kijiwen akiwa na rafiki zake, alipita msichana moja aitwae HUSNA.Alimwita na kumwambia asimame,alipo simama Peter akamsogelea na kuanza kumuelezea shida yake ya kuwa anampenda na hatimaye akafanikiwa kupata namba za simu za husna.
Usiku wake Peter alimpigia Husna na kutaka kujua hatima ya jibu lake sababu aliambiwa asubiri ili afikiriwe jibu lake.
Kutokana na u Handsome alokuwa nao musa, husna hakuweza kuwa na hiyana tena juu ya kumkubali Peter kuwa wapenzi.
INAENDELEA HAPO CHINI