Tapeli Maliki Faraji mme wa Kiki Zimba aumbuka!

Tapeli Maliki Faraji mme wa Kiki Zimba aumbuka!

Mwalimumkweli

New Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
3
Reaction score
1
Leo asubuhi Maliki Faraji - ndio - tapeli hapa mjini; aliaibika kwa Mara Nyingine tena pale gari alilolitapeli kwa jamaa mmoja liliponyang'anywa na polisi. Polisi walimshtukia kwake Leo saa Kumi na mbili alfajiri na kuchukua gari pia. Mke wake- celebrity Kiki Zimba alikuwa akitanua mjini na gari moja jeupe aina ya BMW x5 - Kumbe ni Mali ya wizi. Jamaa aliyetapeliwa hakujua kuwa Maliki ameweza kufoji TRA documents lakini polisi wamegundua yote!

Mara ya kwanza Kiki alikamatwa na kunyang'anywa funguo za gari hilo huku akiwa na shoga yake- akalia na kuhaha kwa aibu. Polisi wameniarifu kuwa Malik katapeli Magari sana na yote kayatanulia sana na kutengeneza fake documents.

Sasa jamani ni kitu gani kinawafanya watu hawa kujidai kuishi maisha ya juu Wakati Hawana uwezo?? Kwani lazima jamani maisha ya juu kama uwezo Huna???- nimesikia Maliki amekuwa akisaidiwa na familia yake kutapeli - katapeli kuku za Brazil, magari kibao, viwanja - familia yake inajulikana kwa utapeli wa madawa ya AIDS - jamani aibu gani hii??? Ptuuuu
 
duuu mambo ya wadada wa mjini nawaume zao...wengine wauza sembe wengine matapeli haya yetu majicho......
 
Sijui anawaza nini Leo anavyolala huko central. Swagg imeharibika! Kkkkkk
 
Wanavuna wapandacho

Wamezidi showoff

Kupenda makuu

Vacations paris (sijui wanamgeza mama wawili????) Disney world dubai

Kumbe kwa hela za tapeliiiiii
 
Ni mambo ya ajabu sio kidogo....ndio hivyo raha za show off.
Acha ale mshahara wa utapeli.
 
Pichazao jamani tunaogopq kujadili hewa humu
 
Picha zao pliiz. Mbona mi siwajui hawa watu. Teh teh teh
 

Attachments

  • 1417280964135.jpg
    1417280964135.jpg
    46.5 KB · Views: 1,377
Last edited by a moderator:
maisha ya location mabaya sana
kwa nini usiishi maisha yako mpaka muigize lloohh
kiki my dear jifunzeni kukubali uhalisia
 
Back
Top Bottom