Wadau heshima kwenu.
Naomba niwarejeshe juu ya huyo jamaa alokuwa akisikika Radio clouds kuwa KAPIGWA 8mln. na pamoja na kumkamata polisi hawakumpa ushirikiano. NAMI PIA NILIMKAMATA lakini mwisho nikaachana nao ikaona nanawatengenezea ULAJI polisi. Miaka 2 iliyopita walinipigia simu kama kawaida yao akijifanya tunajuaana yeyealikuwa afisaugavi Naliendele mtr na anajua kwa vile mimi ni mzabuni na niliwahi kufanya bsn na taasisi hiyo na kwa aasa amepelekwa kambi ya wakimbizi kigoma na wamepewa mahindi ya msaada tn 18elf toka rais Kagame hivyo niwauzie hizo dawa za wadudu. KWA KIFUPI nilimstukia. aliponiambia dili hilo la mln 60 kwenye simu. bila kuonana nikachukua hatua ya kwenda polisi kati kutoa taarifa wakanambia eti nina bahati na uko makini wengi wamepigwa na jana yake mama mmoja kapigwa 9mln. Wakanionyesha chupa hizo walizoleta kumbe si dawa ya wadudu ni VINEGA sijui chachandu ya samaki. Nikawambia polisi kwavile huyo mtu ana namba zangu nipewe ushirikiano niwafuatolie nikapewa askari 2 tukaanza kazi saa 4 asb mpk tukakamata mmoja saa 8 mchn pale mwenge kituo cha mafuta tukamvua flan yake tukamfunga kichwani tukambana atupe mpango mzm akasema yeye hutumiwa kama mtu wa kujitoa muhanga kama alivyofanya mpango ukikamilika hupew 50,000 na mitungi kwa sana. Tukataka kujua mr Jensen yule mzungu wa oxford akasema yule ni MNYAKYUSA na Mr OMONDI. tukambana wapi walipo kwa sasa akasema maskani yao ipo mwananyamala komakoma pale kwenye jengo la ghorofa nyuma kuna bar maarufu. Tulipofika akiwapigia amekuja na mzg wanamwambia watusubiri wankuja mpk saa12jioni nikawaacha polisi kati wakimsurubu. kesho nikaja nikashangaa napigiwa simu na huyo mr Jensen kuwa NAPOTEZA MUDA WANGU BURE KUKOMALIA MTUHUMIWA watamtoa kwani polisi ndo mpango mzima najisumbua kwani wao hawatumii BUNDUKI wanatumia bongo kazi yao nikukomesha watu wenye tamaa ya utajiri wa haraka, KUBWA KULIKO wliponambia HATA AFANDE KOVA anajua sisi siyo MAJAMBAZI tunachofanya ukijilegeza tunakutumbua Na utachanganyikiwa mpk ukiona watu wanakunyw bia utaju peaa yako. NARUDIA TENA POLISI NI WATU WAO. WANAWAITA AUNT VIRUS wa jiji.jina huyo tapeli ni mwasu.... na kundi lake.
Naomba niwarejeshe juu ya huyo jamaa alokuwa akisikika Radio clouds kuwa KAPIGWA 8mln. na pamoja na kumkamata polisi hawakumpa ushirikiano. NAMI PIA NILIMKAMATA lakini mwisho nikaachana nao ikaona nanawatengenezea ULAJI polisi. Miaka 2 iliyopita walinipigia simu kama kawaida yao akijifanya tunajuaana yeyealikuwa afisaugavi Naliendele mtr na anajua kwa vile mimi ni mzabuni na niliwahi kufanya bsn na taasisi hiyo na kwa aasa amepelekwa kambi ya wakimbizi kigoma na wamepewa mahindi ya msaada tn 18elf toka rais Kagame hivyo niwauzie hizo dawa za wadudu. KWA KIFUPI nilimstukia. aliponiambia dili hilo la mln 60 kwenye simu. bila kuonana nikachukua hatua ya kwenda polisi kati kutoa taarifa wakanambia eti nina bahati na uko makini wengi wamepigwa na jana yake mama mmoja kapigwa 9mln. Wakanionyesha chupa hizo walizoleta kumbe si dawa ya wadudu ni VINEGA sijui chachandu ya samaki. Nikawambia polisi kwavile huyo mtu ana namba zangu nipewe ushirikiano niwafuatolie nikapewa askari 2 tukaanza kazi saa 4 asb mpk tukakamata mmoja saa 8 mchn pale mwenge kituo cha mafuta tukamvua flan yake tukamfunga kichwani tukambana atupe mpango mzm akasema yeye hutumiwa kama mtu wa kujitoa muhanga kama alivyofanya mpango ukikamilika hupew 50,000 na mitungi kwa sana. Tukataka kujua mr Jensen yule mzungu wa oxford akasema yule ni MNYAKYUSA na Mr OMONDI. tukambana wapi walipo kwa sasa akasema maskani yao ipo mwananyamala komakoma pale kwenye jengo la ghorofa nyuma kuna bar maarufu. Tulipofika akiwapigia amekuja na mzg wanamwambia watusubiri wankuja mpk saa12jioni nikawaacha polisi kati wakimsurubu. kesho nikaja nikashangaa napigiwa simu na huyo mr Jensen kuwa NAPOTEZA MUDA WANGU BURE KUKOMALIA MTUHUMIWA watamtoa kwani polisi ndo mpango mzima najisumbua kwani wao hawatumii BUNDUKI wanatumia bongo kazi yao nikukomesha watu wenye tamaa ya utajiri wa haraka, KUBWA KULIKO wliponambia HATA AFANDE KOVA anajua sisi siyo MAJAMBAZI tunachofanya ukijilegeza tunakutumbua Na utachanganyikiwa mpk ukiona watu wanakunyw bia utaju peaa yako. NARUDIA TENA POLISI NI WATU WAO. WANAWAITA AUNT VIRUS wa jiji.jina huyo tapeli ni mwasu.... na kundi lake.