bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,565
Bila shaka hamjambo wanajamvi wote,kwa wale ambao wanaumwa nawaombea afya njema kwa Mungu.
Ndugu zanguni wanajamvi nilifiwa juzi 15/01/2014,na mtoto wangu ambaye alifariki muda mfupi baada ya kuzaliwa,tumemzika 16/01/2014.
Innalillah wainna illah rajjiun
Ndugu zanguni wanajamvi nilifiwa juzi 15/01/2014,na mtoto wangu ambaye alifariki muda mfupi baada ya kuzaliwa,tumemzika 16/01/2014.
Innalillah wainna illah rajjiun