Tanzia

Tanzia

Kifimbo Cheza

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
255
Reaction score
117
Mkurugenzi kiwanda cha kuchambulia pamba cha s&c cha bunda bw. Donald gachuma muluga, amefariki dunia jana asubuhi huko bunda. Tumwombe mungu ampumzishe kwa amani kwenye makao yake ya milele. Ameni.
 
Mkurugenzi kiwanda cha kuchambulia pamba cha s&c cha bunda bw. Donald gachuma muluga, amefariki dunia jana asubuhi huko bunda. Tumwombe mungu ampumzishe kwa amani kwenye makao yake ya milele. Ameni.
Apumzike kwa amani. Tunaomba anaejua sababua za kifo chake aandike hapa. Pole kwa wafiwa.
 
Poleni wafiwa. Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 
Pole kwa wafiwa,ila ni ngumu kumuombea kwa Mungu ampumzishe, maana wanadamu
tunatakiwa kujiombea wenyewe tukiwa bado hai,mtu akifa ukurasa umefungwa.tusingojee
kuwa tukifa ndugu na jamaa watatuombea,tutakuwa tumechelewa.
 
Kifimbo Ulipotela wapi? Nakumbuka ulivyokuwa unawachapa watu humu JF, ikiwa bado Jambo Forum, alafu mbona siku hizi hatukuoni kijiweni kwenye ulingo wa CHAMA CHETU CHA MAPINDUZI, CDM wakijua umerejea watakimbia. Kila la heri!
 
Pole sana dada Suzzy Shelukindo kwa kufiwa na mmeo, Mwenyezi Mungu akupe nguvu za kuwaongoza wanao. Pole Nyanza Bottling Company.

Duh!? Kaazi kwel kwel, kumbe mnajuana!?
 
Back
Top Bottom