Yaani kaacha Watoto watano na wajukuu Tisa.Hao Watoto hawajamtendea Haki baba yao.Wana Watoto Tisa .Ukigawa hao wajukuu tisa Ukigawa kwa Watoto watano wa Marehemu Ina maana kila mtoto mmoja wa matehemu kazaa mtoto mmoja na nusu!!! Hi Sio sawa.Nyie Watoto wa Marehemu acheni uvivu wa kuzaa loooo.Marehemu ameacha mjane, watoto watano na wajukuu tisa.
InawezekanaNafikiri huyu ni ndugu yake kabisa John Kaduma, aliyekuwa mchoraji maarufu wa zile katuni za gazeti la Sani miaka hiyoo.
Mungu awafariji wafiwa wote.
Innah Lillah wa Innah Illaih Rajiun
Ni Mkristu lakiniInnah Lillah wa Innah Illaih Rajiun
Kuna la kujifunza hapa Mengi amefariki akiwa na miaka 77 ameacha watoto tu hakuna wakwe Wala wajukuuKuna funzo hapa. Reginald Mengi alifariki akiwa na miakam77 Hana mkwe Wala wajukuu
Yaani kaacha Watoto watano nwajukuu Tisa.Hao Watoto hawajamtendea Haki baba yao.Wana Watoto Tisa .Ukigawa hao wajukuu tisa Ukigawa kwa Watoto watano wa Marehemu Ina maana kila mtoto mmoja wa matehemu kazaa mtoto mmoja na nusu!!! Hi Sio sawa.Nyie Watoto wa Marehemu acheni uvivu wa kuzaa loooo.