Kidogo chetu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,432
- 992
Ndugu zangu wana JF,
Napenda kuwajulisha kuwa Mzee Augustine Mwingira aliyewahi kuwa waziri wizara mbalimbali Hatunae tena.
Wengi mtamkumbukkwa ile kashifa ya Rajipal wakati wa utawala wa awamu ya kwanza wa mwalimu Nyerere.
Mungu ailaze pema roho ya marehemu.
Napenda kuwajulisha kuwa Mzee Augustine Mwingira aliyewahi kuwa waziri wizara mbalimbali Hatunae tena.
Wengi mtamkumbukkwa ile kashifa ya Rajipal wakati wa utawala wa awamu ya kwanza wa mwalimu Nyerere.
Mungu ailaze pema roho ya marehemu.