Ahsante sana mwandishi wa makala hii,nilisoma TAMTA miaka 70,na umetupa historia nzuri sana.Nilipomaliza kusoma kwa Al marhum Mwalim Awadhi,nikaenda kusoma na TAMTA,Mwalimu wangu ninayemkumbuka Sharif Hashim,sijajuwa mpaka leo kwa nini hajiiti Sheikh,kigogo huyu wa Elimu,aliyewahi kuwa Mwalimu wa shule ya Secondary.