kunguni wa ulaya haumikwake tumetoka na kwake tutarejea...
kunguni wa ulaya haumikwake tumetoka na kwake tutarejea...
Mtu haaumui tu kujiita,ila awe na elimu ya kiwango husika,na kupewa daraja hilo,lakini wengine wamefikia kiwango hicho,hawajiandiki na kujiita sheikh Fulani.Kama wamo madoctor au maprofesa au mainjinia hawajitangazi kwa vyeo vyao.Samahani Maalim! U Sheikh Ni mtu Tu anaamua kujiita?
Kwani hakuwa na hadhi ya kuitwa Shekhe?Mtu haaumui tu kujiita,ila awe na elimu ya kiwango husika,na kupewa daraja hilo,lakini wengine wamefikia kiwango hicho,hawajiandiki na kujiita sheikh Fulani.Kama wamo madoctor au maprofesa au mainjinia hawajitangazi kwa vyeo vyao.
Kikwajuni,Ahsante sana mwandishi wa makala hii,nilisoma TAMTA miaka 70,na umetupa historia nzuri sana.Nilipomaliza kusoma kwa Al marhum Mwalim Awadhi,nikaenda kusoma na TAMTA,Mwalimu wangu ninayemkumbuka Sharif Hashim,sijajuwa mpaka leo kwa nini hajiiti Sheikh,kigogo huyu wa Elimu,aliyewahi kuwa Mwalimu wa shule ya Secondary.