RIP TambalizeniMkuu inatosha kutoa pole na kumtakia mapumziko mema marehemu mbele za haki.
Mauti ina demokrasia ya ajabu , nawe utaionja.
RIP Tambalizeni.
Safi sana matola... Ameanika uoza wa siasa na visasi vya ba'mwanahawa
Matola umezibuka.
Tambalizeni mtu wa lyrics long time namkumbuka.Tukiwa wadogo tunafuatilia mashairi na ngonjera RTD Tambalizeni hakosekani.
May all beings attain elightenment.
There is only one Matola.... :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Kwa ukarimu wa Rais Kikwete kwenye misiba na kwakuwa wote hawa mimi nawachukulia ni Waswahili tu wa pwani yaani Wazaramo ( ingawa Jk ni mkwele).
Kukosekana JK kwenye mazishi nadhani amefanya jambo jema sana maana amejivuwa dhana ya unafki na amehakikisha kwamba if you want to distroy someone, distroy him completely to the grave.
Huyo ndiyo JK the Man of revenge, Steve Mashishanga naye atie maji........
Matola,
..Kikwete hakwenda kumzika Tambalizeni?
..ina maana Kanumba alikuwa mtu muhimu kwa JK na CCM kuliko Tambalizeni?
Kwani ndugu yangu chama wanasiasa huwa wanakuwa marafiki basi. Hawa jamaa si marafiki wala si maadui, nami wala sisemi kwamba Mh. Kikwete anahusika, hapana. Ila katika siasa unatakiwa kuvuma uelekeapo upepo, ukikosea timing ndipo kifo cha uanasiasa kinapowadia. Hivyo marhum alikosea kujua upepo unaeleka wapi. Kuhusu mengine bila shaka ni ya Mungu wala si binaadamu.
Kwa ukarimu wa Rais Kikwete kwenye misiba na kwakuwa wote hawa mimi nawachukulia ni Waswahili tu wa pwani yaani Wazaramo ( ingawa Jk ni mkwele).
Kukosekana JK kwenye mazishi nadhani amefanya jambo jema sana maana amejivuwa dhana ya unafki na amehakikisha kwamba if you want to distroy someone, distroy him completely to the grave.
Huyo ndiyo JK the Man of revenge, Steve Mashishanga naye atie maji........
Kwani Kanumba na Tambalizeni nani alikuwa popular zaidi wa wananchi achana na CCM.
mwenyezi Mungu alitoa na kisha ametwaa na jina lake litukuzwe milele Amina. poleni sana wafiwa wote.Mungu awafariji wafiwa
Alikua na umri gani, alikua anaumwa nini, mbona hajachangiwa kupelekwa india?. kwanini alikua inactive katika chama kwa muda mrefu au alikua kajiunga na CHADEMA?.