Matola
Kifo ndio mwisho kila mwanaadamu; namuombea kwa Mola amlaze mahali pema; Tambalizeni katutoka kwa mapenzi yake Mungu; umeleta hadithi ndefu ambazo hazina kichwa wala miguu; mh. Jakaya anahusika vipi na kifo hiki? Kuna wakati muweke Mungu mbele hizi jazba na chuki zako za kisiasa zinakufanya uonekane mchawi mbele ya jamii!
Kifo ndio mwisho kila mwanaadamu; namuombea kwa Mola amlaze mahali pema; Tambalizeni katutoka kwa mapenzi yake Mungu; umeleta hadithi ndefu ambazo hazina kichwa wala miguu; mh. Jakaya anahusika vipi na kifo hiki? Kuna wakati muweke Mungu mbele hizi jazba na chuki zako za kisiasa zinakufanya uonekane mchawi mbele ya jamii!
Last edited by a moderator: