Tanzia: Roman Luoga afariki dunia

Tanzia: Roman Luoga afariki dunia

Nyungu land
IMG-20200504-WA0000.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Source: Clouds FM
Huyu alikuwa Katibu wa kamati ya uchaguzi wa chama cha soka Morogoro.
Chanzo cha kifo hakijatajwa.
Jamani moderators baadaye mtafunguliwa mashtaka na jamii forums kufungwa vifo vya watu watangaze ndugu tu na waambatanishe cheti cha kifo .Kifo cha mtu ni kitu kizito .

Msipokee matangazo kiholela
 
Umembiwa source clouds FM unataka nn tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Chombo chochote cha habari kikitangaza kifo husema wazi ndugu Fulani anatangaza kifo.cha mjomba wake kilichotokea nk na uthibitisho .Hata kama ka quote radio awe ndugu na aweke uthibitisho .Jamii forums ni chombo cha habari kama vingine principle ni ile ile hasa kwenye matangazo ya vifo
 
Back
Top Bottom