SUDI OMARY
New Member
- Apr 5, 2014
- 2
- 2
Yah alishawahi kufanya mchiriku/mnanda wa marehem omary omaryHuyu ndo yule producer wa michiriku?
Yah alishawahi kufanya mchiriku/mnanda wa marehem omary omaryHuyu ndo yule producer wa michiriku?
Goma tamu sana,mistari mizuri......Wamenifunga mikono mdomo wamesahau.Umetisha bro. Hili collabo huwa nalipenda sana
Ndiyo ...Dixon mwili wake ulionekana siku hiyo hiyo, demu wake ulionekana kesho yake Coco beach ulifikaje fikaje hatujuiWalikufa wotee?!!
Acha tuHahahaha, vzr Sana
Acha tuendelee kuwa washambaMimi huyu kabisaa....!!!
UTAKUA UMEZALIWA KARNE YA KUKURUPUKANimekuja mbio nikidhani uzi umesindikizwa na kapicha
Wengine tulikuwa hatumjui kwa sura aisee
Kabisa yaani.Duh!maji hayana ufundi jamani...hatari aiseehh!!
Maji ndivyo yalivyoNdiyo ...Dixon mwili wake ulionekana siku hiyo hiyo, demu wake ulionekana kesho yake Coco beach ulifikaje fikaje hatujui
Uache aisee na ukienda uwe mpenzi mtazamaji.Uwiii.. Mnazidi kuniogopesha
Nasikia Masela wa Coco wanawakokolisha sana mabinti wanaofundishwa kuogelea .Coco sio nzuri kwa kuogelea,ina mawe mengi chini na mashimo,ndio maana pale zaidi zile boya za masela wale
Masikini daah!huzuni sana!Ndiyo ...Dixon mwili wake ulionekana siku hiyo hiyo, demu wake ulionekana kesho yake Coco beach ulifikaje fikaje hatujui
YOUNG DEE UMEMSAHAU PIADah pancho latino R.I.P ninja
.
Hawa jamaa sijui wapo kwenye hali gani
1. Shetta
2.hammy B-mmiliki wa studio
3.Ambwene yesaya
4. Mwana FA
5.nimekasahu Jina kadogo kamoja hivi kame graduate tumaini
Pancho pancho pancho mungu akufanyie wepesi aisse
Nimekubali hilooAcha tuendelee kuwa washamba
Watu wasivyo waoga weekend kama kawa wataenda, Ben pol alinusurika huko mbudya sijamuona tena akienda.Maji ndivyo yalivyo
AlifanyajeIkifika siku ya kufa hata kama mtu ni mtaalamu kiasi gani maandiko yatatimia tu. Hii inanikumbusha jamaa mmoja anaitwa Masiaga.
Hahahaha, wahuni waleNasikia Masela wa Coco wanawakokolisha sana mabinti wanaofundishwa kuogelea .
Damn this is mudhafakin bad news the devil aint shit fak the devilProducer maarufu wa B’ Hitz Record Pancho Latino maarufu kama mafia, amefariki kwa ajali ya kuzama na maji kisiwa cha Mbudya.