EWGM's
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,521
- 2,112
Rest In Peace
yaani hawa vibaka mmh
Unaendeleaje mpendwa?
Ubarikiwe
Rest In Peace
yaani hawa vibaka mmh
naona wanakukumbusha...pole sanaRest In Peace
yaani hawa vibaka mmh
Ni amchezaji wa zamani wa yanga na jkt ruvu.Amefariki baada ya kuvamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya jangwani Jana usiku.
ahahaa na Dawa ya deni ni kulipa.............
ngoja ni do ze nidfull fasta
nadhani aliwahi kuchezea Kagera sugar pia, jamaa alikuwa msumbufu sana kwa timu pinzani kwenye ndondo pale Kinesi cup na Lucky rangers cup, apumzike kwa amani.
Rest In Peace
yaani hawa vibaka mmh