Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka nchini TFF, Hamidu Mbwazeleni amefariki dunia leo
Kufuatia msiba huo Rais wa TFF Wallace Karia ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya marehemu, ndugu jamaa na marafiki pamoja na wanafamilia wa mpira wa miguu nchini.
Karia amesema Mbwezeleni alikuwa mwanamichezo mzuri ambaye amekuwa akishiriki shughuli mbalimbali za mpira wa miguu, mwenye uweledi katika shughuli zake mchapakazi hodari.
Ameongeza kuwa katika kipindi chote alichokuwa Mwenyekiti wa kamati hiyo amefanya kazi kwa moyo wote wa kuutumikia mpira wa Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufuatia msiba huo Rais wa TFF Wallace Karia ametuma salamu za rambirambi kwa familia ya marehemu, ndugu jamaa na marafiki pamoja na wanafamilia wa mpira wa miguu nchini.
Karia amesema Mbwezeleni alikuwa mwanamichezo mzuri ambaye amekuwa akishiriki shughuli mbalimbali za mpira wa miguu, mwenye uweledi katika shughuli zake mchapakazi hodari.
Ameongeza kuwa katika kipindi chote alichokuwa Mwenyekiti wa kamati hiyo amefanya kazi kwa moyo wote wa kuutumikia mpira wa Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app