Tanzia: Mwalimu Bahiya bint Abdulrahman

Nitamsalimia shosti ako

Mbona unajua sana habari ya single moms wenzio?
Mkuu, utawezaje kumjua mtu akiyetokana na kizazi kibaya na cha ZINAA (mwanaharamu)??, ni kupitia maneno na matendo yake ndipo utamjua na mbaya zaidi anatapika UVUNDO katika tanzia na anamtusi Marehemu, bila shaka huyo ni mwana wa Ubilisi.

Yesu, alisema; "kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara hakitapata--" (mathayo 16:4).
 
Jifunze uvumilivu, pengine ungesoma mpaka mwisho ungeweza kupata faida ambayo hukuitegemea katika uhai wako.. May be you could have learnt the importance of humility who knows!

The information I have from friends and what has been written about her , the dear departed was an INSTITUTION.
 
Ama Kiswahili kina mengi nacho....Kwa hiyo Tanzia inabaki kuwa na maana ipi?
Dina,
Abdilatif yeye kwao ni Mombasa na lahaja yake ni ya Kimvita.

Hii ''tanzia,'' ni sawa lakini kwa lahaja yake yeye kaona mimi nimezungumza sivyo nimezungumza kama watu wa bara na mimi ni mtu wa pwani.

Abdilatif yeye hasemi, ''ahsante,'' anasema, ''ahsanta,'' yote ni maana moja.
Hapo chini kushoto ni Abdilatiff Abdalla na mimi ofisini kwake London 1991.

Angalia jina la baba yake anavyoliandika ni bila ''h'' mwisho.
Mtaalamu wa Kiswahili huyo.

1572529696678.png
 
Kichaa...
Kanumba kazikika lakini maiti yetu iliitikiwa si haba.
Mzee Mohamed Said samahani sana naomba nikuulize jambo nje kabisa ya mada ya leo. Kama utaridhia nataka kujua katika kumbukumbu zako unaweza kumjua mmiliki wa mwanzo wa nyumba namba 25 new street?
 
Hakika mzee Mohammed ni mtu ambae kweli unaijua dini... japo mimi ni mkristo lakini naomba niwe na hekima kama yako.. maana unakashfiwa, unatukanwa na maneno mbalimbali ya kejeli lakini mzee Mohammed sijawah kukuona unamjibu mtu kwa ghadhabu wala hasira, Mungu akuzidishie uheri mwingi ili tuendelee kufaidi hekima yako hapa duniani na Jf.
Hata Mtume S.A.W alikuwa anawekewa haja kubwa ya mtu mzima mlangoni kwake na LIJIKAFIRI fulani, hakuwa akijibizana nae bali alikuwa akiuondosha huo mfurushibwa haja kubwa na kupasafisha pale palipochafuka na kuendelea na mambo yake
 
Mzee Mohamed Said samahani sana naomba nikuulize jambo nje kabisa ya mada ya leo. Kama utaridhia nataka kujua katika kumbukumbu zako unaweza kumjua mmiliki wa mwanzo wa nyumba namba 25 new street?
Capitano,
Hiyo ni nyumba ipi?
 
Capitano,
Nyumba hii ilijengwa na wanachama wa African Association kwa kujitolea kati ya mwaka wa 1929 hadi 1933 ndipo ulipomalizika ujenzi.
Sawa imeelewa maana mie kupitia simulizi za wazee na wazee nilisikia tofauti kidogo. Kama una kumbu kumbu ulipomaliza kuandika kitabu kile harakati za waislamu katika kupigania uhuru au maisha ya Abdulwahid Sykes kuna mtu ulimpa kukisoma nadhani anaitwa Mshangama na siku fulani alijiwa na mgeni ambae ni daktari akakutambulisha kama ifuatavy. Dokta unamuona huyu mtu? Huyu ndie aliyeandika kile kitabu nilichokuazima. Sasa mie nilikuwa najjua nyumba ile mwanzoni ilimilikiwa na baba yake huyu dakatari
 
Heci,
Umeghadhibika.
Ungeandika kwa utulivu ningekujibu.

Hajaghadhibika amequote tu haya maneno ni maneno mazuri,

Revelation 14:13 King James Version (KJV)
13 And I heard a voice from heaven saying unto me, Write, Blessed are the dead which die in the Lord from henceforth: Yea, saith the Spirit, that they may rest from their labours; and their works do follow them
 
Back
Top Bottom