TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,565
Reaction score
28,477
Muda mfupi uliopita nimepata taarifa kuwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu nchini Tanzania Mufti Issa Bin Shaaban Simba amefariki dunia.

Hakika ni majonzi na pigo kubwa kwa Waislam na watanzania kwa ujumla. Amezaliwa Shaaban na ameondoka ndani ya mwezi wa Shaaban,Innalilah wainailah Rajiun.

Mwenyezi mungu ampe kauli thabiti na amjaalie pepo ya kheri na kumsamehe madhambi yake.

The Grand Muft of Tanzania has passed away
.


 
Nimepata habari ambazo hazijathibitishwa kuwa Mufti wa Tanzania amafariki, mwenye taarifa zaidi tafadhari.
 
kuna tetes mufti simba kafariki yule wa bakwata,,mliopo eneo la tukio mtujuze
 
TANZIA: Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba afariki dunia leo Hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam, BAKWATA yathibitisha.
 
TANZIA: Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba afariki dunia leo Hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam, BAKWATA yathibitisha.
 
Innalilah wainallah rrajuun..
Kazi ya Mungu aina makosa mbele yake nasi tutafuatia,,Subhana amsamehe makisa yake Inshallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…