jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 991
- 1,412
Hivi Prince Baina Kamukulu nae ameshalamba udongo?
Kitambo kaka!! Acha kabisa!!! Tena ilikuwa kifo cha ghafra sana, Alikuwa Arusha siku mauti yalipomkuta.
Hivi unakumbuka mambo ya Prince Baina Kamukulu Na Chaz C Mhamiji katika Africa Bambataaa la Clouds FM!!!! Ilikuwa combination ya hatariii Zaidi kuwahi kutokea katika utangazaji wa burudani!!!!
Akaja kuinogesha Zubeir Musabaha Na Bolingo time ya RFA!!
Inasikitisha sana kuzikosa sauti hizi redioni!!!