Tanzia: msiba Ifakara

Tanzia: msiba Ifakara

Mkoroshokigoli

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
14,593
Reaction score
5,582
Wadau nimepokea taarifa za kifo za mwenyekiti wa halmashauri ya WILAYA ya KILOMBERO bwana RAMADHAN KIOMBILE ambaye alikua anaumwa kwa muda mrefu sana amefariki leo,huyu jamaa alichaguliwa kuwa diwani na baadae madiwan walimchagua kuwa mwenyekiti wa halmashauri.
Kwa mara ya mwisho mwezi wa 10 nilikua kilombero(ifakara)niliambiwa kuwa amelazwa muhimbili.
Taarifa hizi nimepewa na mdau wake ambaye anaishi ifakara
 
Pole kwa msiba.japo nipo ifakara sijasikia huu msiba.alikuwa anaishi maeneo gani hapa ifakara??
 
Pole kwa msiba.japo nipo ifakara sijasikia huu msiba.alikuwa anaishi maeneo gani hapa ifakara??

Ndio habari moto kwa sasa Ifakara,inawezekana akazikwa Mkamba-Kilombero.Nenda jukwaa la siasa utapata habari zaidi.
 
Back
Top Bottom