Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
Wadau nimepokea taarifa za kifo za mwenyekiti wa halmashauri ya WILAYA ya KILOMBERO bwana RAMADHAN KIOMBILE ambaye alikua anaumwa kwa muda mrefu sana amefariki leo,huyu jamaa alichaguliwa kuwa diwani na baadae madiwan walimchagua kuwa mwenyekiti wa halmashauri.
Kwa mara ya mwisho mwezi wa 10 nilikua kilombero(ifakara)niliambiwa kuwa amelazwa muhimbili.
Taarifa hizi nimepewa na mdau wake ambaye anaishi ifakara
Kwa mara ya mwisho mwezi wa 10 nilikua kilombero(ifakara)niliambiwa kuwa amelazwa muhimbili.
Taarifa hizi nimepewa na mdau wake ambaye anaishi ifakara