Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Taarifa zinazoenea kwa kasi mitandaoni,zinaeleza Mke wa mmiliki wa Kampuni ya ndege PRECISION AIR amefariki dunia nje ya nchi alipokuwa akipata matibabu. Mipango ya mazishi inaendelea Dar na Arusha.