Tanzia: Mhadhiri wa UDSM, Dr. Stephen Mdachi afariki dunia

king herode

JF-Expert Member
Jul 14, 2017
368
566
Kwa yeyote Aliyewahi kusoma stereochemistry,pale udsm na kama ushawahi kufanya research kubwa kubwa za organic chemistry tumeondokewa na nguli wa stereo chemistry aliyewahi kuwa moja ya wataalamu wa bodi ya ewura Dr. Mdachi a.k.a enantiomer amefariki dunia. Alikuwa amelazwa kwa muda mfupi sana ila usiku wa kuamkia leo ametwaliwa na Mwenyezi Mungu.

The good one are always the first go

========

3cb0a2cd709b1e99fbaadb0c86cc3207.jpg


Mh. Profesa Sospeter M. Muhongo amemteua Dk. Steve Mdachi kuwa Mwenyekiti Bodi ya PBPA
 
Kwa yeyote Aliyewahi kusoma stereochemistry,pale udsm na kama ushawah kufanya research kubwa kubwa za organic chemistry tumeondokewa na nguli wa stereo chemistry aliyewah kuwa moja ya wataalamu wa bodi ya ewura Dr.mdachi a.k.a enantiomer amefariki dunia alikuwa amelazwa kwa muda mfup sana ila usku wa kuamkia leo ametwaliwa na mwenyez mungu.



The good one are always the first go

Maziko yatakuwa nyumbani kwao dodoma ila mwili utaagwa alhamisi kwake karibia na ardhi university
 
msiba (7).JPG

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka sini katika kitabu cha maombolezi nyumbani kwa Marehemu Dkt. Stephen Juma Mdachi aliyefariki Jumanne Agosti 1, 2017 katika hospitali ya Tumaini jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu. Marehemu ambaye alikuwa ni mhadhiri katikl idara ya Kemia, ameacha mjane na watoto watatu.
 
Poleni wanafunzi, wafanyakazi wote UDSM .

Pole sana familia ya wafiwa.

Dr. Mdachi, R.I.P
 
View attachment 556871
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka sini katika kitabu cha maombolezi nyumbani kwa Marehemu Dkt. Stephen Juma Mdachi aliyefariki Jumanne Agosti 1, 2017 katika hospitali ya Tumaini jijini Dar es salaam.
Kah! Magu sasa urais umemkubali! Si unachekshia alivyokuwa handsome, yani karudi kuwa kijanaaa. Baba legeza sasa na sie huku tule bata kama zakooo! :rolleyes:

aliyewahi kuwa moja ya wataalamu wa bodi ya ewura Dr. Mdachi a.k.a enantiomer amefariki dunia. Alikuwa amelazwa kwa muda mfupi sana ila usiku wa kuamkia leo ametwaliwa na Mwenyezi Mungu.
Rest in peace mkemia... Na kukaa kwangu kote hapo UDSM sikuwahi kumfahamu. Anaonekana hakuwa mtu mpenda makuu!
 
Dr Mdachi MUNGU akuweke pema.
Moja ya watu very straight kuwahi kukutana nao.
Anaamini katika facts balaa.
Kama huwezi kumthibitishia kuwa lisemwalo lipo basi hujamshawishi bado.
Bingwa wa stereochemistry
 
He was very smart kwa kweli,tumepoteza figure muhimu sana katika ulimwengu wa taaluma.
Nakumbuka kuna watu walipata alama za chini sana katika mtihani wa jaribio (test),wakamfuata ili awaongezee alama,akakataa,wakamtuhumu kuwa Dr.Mdachi hayupo fair.
Siku moja kwenye kikao cha idara,wanafunzi walimsema sana kuwa Dr.hayupo fair na yeye akiwepo.

Majibu yake kwa hoja za wanafunzi yalikuwa katika mfumo wa swali,aliuliza "What is fairness to you?,Giving you free marks is what you term fair?"
Akaendelea "I think,and that is it,fairness is giving you what you deserve,when I give you what you don't deserve,it is quite unfair".
Nilii quote hiyo statement mpaka sasa,naitumia vilivyo katika utendaji wangu,I offer what a client deserve!!
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"What is fairness to you?,Giving you free marks is what you term fair?"
Akaendelea "I think,and that is it,fairness is giving you what you deserve,when I give you what you don't deserve,it is quite unfair".
Majibu mujarabu kwa wanafunzi wapenda vitonga.
 
Back
Top Bottom