Wapendwa,
Tumeondokewa na Mchungaji wetu wa kanisa la KKKT Kigamboni ambaye kabla ya hapo alikuwa KKKT usharika wa Sinza.
Amepata ajali mbaya jana usiku akiwa anatokea Mbagala kurudi kwake Kigamboni. Gari ilipinduka na yeye kupoteza maisha hapo hapo.
Habari kamili itafuatia.......
Poleni sana Ndugu, Jamaa, Marafiki na Hususani waumini wa kanisa la KKKT magogoni - Kigamboni.
Bwana alitoa.......Bwana ametwaa.....Jina la Bwana lihimidiwe.....
Tumeondokewa na Mchungaji wetu wa kanisa la KKKT Kigamboni ambaye kabla ya hapo alikuwa KKKT usharika wa Sinza.
Amepata ajali mbaya jana usiku akiwa anatokea Mbagala kurudi kwake Kigamboni. Gari ilipinduka na yeye kupoteza maisha hapo hapo.
Habari kamili itafuatia.......
Poleni sana Ndugu, Jamaa, Marafiki na Hususani waumini wa kanisa la KKKT magogoni - Kigamboni.
Bwana alitoa.......Bwana ametwaa.....Jina la Bwana lihimidiwe.....