Qixima mQiqa
Senior Member
- May 18, 2012
- 178
- 20
Major General Mstaafu Bakari Shabani ameaga dunia, mwili wa marehemu upo hospital ya Lugalo. Msiba upo nyumban kwake Osterbei, heshima ya mwisho kwa marehemu itatolewa siku ya jpili tarehe9/03 itakayoongozwa na Mh.Rais Dr. Jakaya Mrisho kikwete. Pole kwa wafiwa wote