GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,691
- 109,123
Mtu wa system kivip mbona huelewek??
Sent from my Android phone
Wenye nchi hao Mkuu bado hujawajua tu? Wajomba zake Daktari Ulimboka.
Mtu wa system kivip mbona huelewek??
Sent from my Android phone
Endelea ku join. Usikate tamaaWewe ni mwana JF wa 10 sasa nakusikia ulikuwa maeneo ya ajali.
Kuna kitu naanza kukihisi hapa.
Ngoja niendelee kuunganisha dots.
Usiri haupo tena labdaHalafu hivi ni kwanini miaka ya hivi karibuni Mtu wa System anajulikana haraka katika Jamii kuliko wale wa miaka ya 70 hadi 95? Tatizo ni nini?
Ubungo river side saa saba usiku nilikua maeneo hayo,sikuona ajali,au tuelezee kidogo ilikuwaje?
Pole sana mchumba wake,wazazi,wanafamilia na wote mlioguswa na kifo chake,Mungu awape faraja.
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe n wale wavaa sut nyeusWenye nchi hao Mkuu bado hujawajua tu? Wajomba zake Daktari Ulimboka.
Siku hizi wamekuwa watu wa matangazo pia hawana wito flani na kazi kutokana na ukweli kwamba wengine wanapigiwa pande na ndugu zaoHalafu hivi ni kwanini miaka ya hivi karibuni Mtu wa System anajulikana haraka katika Jamii kuliko wale wa miaka ya 70 hadi 95? Tatizo ni nini?
Usiri haupo tena labda
Sent from my Android phone
Wanawadanganya hiyo mleta habari na marehemu na mchumba wote wafuasi wa gwajimaWenye nchi hao Mkuu bado hujawajua tu? Wajomba zake Daktari Ulimboka.
Usalama wa nani? Marehemu?Wale wote mnao omba ID yake ya jf imeniwia vigumu kulingana na sababu za kiusalama kwakuwa alikuwa mtu wa system tumeona tutumie jina halisi yawezekana kunawatu amekumbana nao humu
Sent using Jamii Forums mobile app
hayapo n hata ufanis wa kaz unapungua kwanz siku hz wanafahamikaHivi usiri ukiwa haupo na maadili nayo yanakuwepo?
Kwahiyo Wewe ajali zote zinazotokea hapo River Side mida ya usiku huo mnene wa Saa 7 huwa unazishuhudia Mkuu?
Nani amethibitisha hiyo kauli wakati kwenye pikipiki walikuwa wawili tu na wote wamefariki?Alikuwa anatumia jina gani?
Nimesikia kuhusu hii akali toka kwa rafiki yangu. Yasemekana alimwambia dereva wa boda boda akamshushie upande wa pilo wa barabara, ile kuvuka lorry hilo.
R.I.P!
Labda waliona ishara si unajua mtu akiwa kwenye bodaboda kuna ile hali ya kuonyesha mkono...ahahaaaaNani amethibitisha hiyo kauli wakati kwenye pikipiki walikuwa wawili tu na wote wamefariki?
Yasemekana, neno la msingi ktk maelezo yangu!! Hata hivyo kwani kama alikuwa upande wa pili na watu walikuwa jirani haiwezekani?? Tiver side ina watu muda wote, hapalali pale!!Nani amethibitisha hiyo kauli wakati kwenye pikipiki walikuwa wawili tu na wote wamefariki?
Umenichekesha while nna majonziR.I.p brother Mungu ampe nguvu mchumba mjane
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?