HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Johanes M Kanani inasemekana alikuwa ni member wa JamiiForums, alipata ajali usiku wa kuamkia jana alikuwa abiria kwenye bodaboda ajali ilitokea saa saba usiku River Side Ubungo. Jumapili ndiyo siku aliyomvalisha pete mchumba wake na tarehe 20 mwezi huu wa nane ndio ingekuwa siku ya harusi yake.
RIP Johanes
Hapo akiwa na mchumba wake baada ya kumvalisha pete
Sent using Jamii Forums mobile app
RIP Johanes
Hapo akiwa na mchumba wake baada ya kumvalisha pete
Sent using Jamii Forums mobile app