Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,725
- 21,804
Acha nikutafutie surgeon mapema...usije niweka matatizoni.Bora ya kwangu imekuvunja mbavu mimi ya kwako imenitoboa toboa moyo wangu
Mr Miller .....
Acha nikutafutie surgeon mapema...usije niweka matatizoni.Bora ya kwangu imekuvunja mbavu mimi ya kwako imenitoboa toboa moyo wangu
Ukisikia kunyimwa ndio hukuAcha nikutafutie surgeon mapema...usije niweka matatizoni.
Mr Miller .....
Kwani umeniomba nini vile?Ukisikia kunyimwa ndio huku
We mwenyewe wajiona mrembo hpo ulipo?Kädemu käbayaaa!!!!
unawaza papuchi tuHapa mjini bodaboda watatumaliza. Binafsi hata iweje sikodi boda bora iwe mchana amausiku - ajali haina kinga ila haka ka utaratibu kangu kanafanya kazi maana ni mwaka wa kumi sasa bodaboda inipite tu aisee.
Sasa jamaa kamwacha mchumba maskini na mifisi ilivyo mingi kha!!! (RIP).
Nilikuwa katika harakati za kukuomba fursaKwani umeniomba nini vile?
Maana nafuatilia maneno yako..sijui kujiongeza....
bbadeAcha nikutafutie surgeon mapema...usije niweka matatizoni.
Mr Miller .....
RIP bro,Poleni sana mipango ya mungu hiyo
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app