Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Binadamu si chochote
Siyo wote, ukiwa mtu wa kawaida tu ndio inakuwa vileHuyu anaudugu na wema sepetu? Au majina tu?
Waislam wako fasta asbuhi jion wanamaliza biashara aisee 5hrs?
Jaji Mkusa Issac Sepetu amefariki dunia leo asubuhi,na maziko yalifanyika kijijini kwao Mbuzini,Mungu amlaze mahala pema peponi,Amin
View attachment 1359714
Sent using Jamii Forums mobile app