Tanzanite klm JF-Expert Member May 7, 2013 453 376 May 20, 2013 #1 Ndugu watanzania na wanajf yule kijana mdogo daktari bingwa wa upasuaji mhitimu wa KCMC na aliyekuwa doctar wa karatu lutheran Hospital atazikwa leo
Ndugu watanzania na wanajf yule kijana mdogo daktari bingwa wa upasuaji mhitimu wa KCMC na aliyekuwa doctar wa karatu lutheran Hospital atazikwa leo
lane JF-Expert Member Jan 17, 2013 897 492 May 20, 2013 #2 he was so young and such a hard working and patient-centred doctor, he has gone too soon but tunamshukuru Mungu kwa yote. Sasa mkuu msiba na maziko ni wapi? Wengine wetu tungependa kuhudhuria kama access na convinience inaruhusu. RIP rene
he was so young and such a hard working and patient-centred doctor, he has gone too soon but tunamshukuru Mungu kwa yote. Sasa mkuu msiba na maziko ni wapi? Wengine wetu tungependa kuhudhuria kama access na convinience inaruhusu. RIP rene
papaa2015 JF-Expert Member Jul 12, 2012 411 100 May 21, 2013 #5 Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.