Tanzia: Diwani wa CCM afariki

Tanzia: Diwani wa CCM afariki

MTU WA NJIA HII

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
237
Reaction score
52
Diwan wakata ya Mwabaluhi mjini Sengerema Mwanza mh.Paul Lubongeja akijulikana zaidi kwa jina la Paluma amefariki usiku wa kuamkia leo tarehe 22/11/2014.Mazishi yatafanyika kwao Katunguru.Wananchi wa Mwabaluhi hawatakuwana diwani karibu mwaka mzima.
 
Pole sana wafiwa,acha nimtafute mh. Ngeleja aje achangie zile za ESCROW
 
Mungu ataenda kumuhukumu huko mbinguni au motoni poleni wafiwa wote
 
Tumtaarifu na yule jamaa alie toa 400 ml atusaidie. RIP gamba dogo.
 
Diwan wakata ya Mwabaluhi mjini Sengerema Mwanza mh.Paul Lubongeja akijulikana zaidi kwa jina la Paluma amefariki usiku wa kuamkia leo tarehe 22/11/2014.Mazishi yatafanyika kwao Katunguru.Wananchi wa Mwabaluhi hawatakuwana diwani karibu mwaka mzima.

Nauliza…
1alikuwa anatetea hela za Esrow kuwa ni za wananchi??

2.Alikuwa anatetea rasimu ya Warioba???
Vingine…..
 
RIP Gamba....

Ila nduguzo wanatutenda kwa kuiba pesa za ESCROW... Waambie hata kwenye ndoto WAZIRUDISHE.
 
Kwa coment hizo hapo juu magamba wamepoteza uhalali wa kuishi.
 
Nauliza…
1alikuwa anatetea hela za Esrow kuwa ni za wananchi??

2.Alikuwa anatetea rasimu ya Warioba???
Vingine…..



Kha ha ha haaaaaaaaaa! Bila shaka atakuwa ni wale wale majamaa zetu ccm! Apumzike shambani mwake Bwana wetu!
 
Fisadi au wakala wa mafisadi akifa hakuna haja ya kuomboleza. Ni discount kwa wanyonge
 
utangulie kwa aman ila ukifika ukifika uko umwambie mungu kuna majambazi yameiba hela za escrow hayati kurudisha..RIP
 
Diwan wakata ya Mwabaluhi mjini Sengerema Mwanza mh.Paul Lubongeja akijulikana zaidi kwa jina la Paluma amefariki usiku wa kuamkia leo tarehe 22/11/2014.Mazishi yatafanyika kwao Katunguru.Wananchi wa Mwabaluhi hawatakuwana diwani karibu mwaka mzima.

Poleni wanasengerema! Hivi huyu si ndio amewahi kuwa Diwani wa Katunguru kuanzia miaka ya 2000 na kisha akawa mwenyekiti wa halmashauri ya Sengerema? Poleni sana wafiwa namfahamu huyo mwalimu Lubongeja ila sikuwa na taarifa kuwa alikuwa diwani wa Mwabaluhi!
 
Nadhani Mungu atamchoma moto vilivyo kutokana na usaliti wake kwa watanzania.
 
Back
Top Bottom