Tanzia: Diwani wa CCM afariki

Tanzia: Diwani wa CCM afariki

Pole wafiwa ila marehemu ulipwe kwa kadri ya uliyoyatanguliza. Amen.
 
Kwa sasa magamba nawafananisha na yule housegirl aliempiga mtoto mdogo kule kampala!
 
Hapana huyu ni mdogo wake,mkubwa ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri anaitwa Methew Lubongeja
 
Diwan wakata ya Mwabaluhi mjini Sengerema Mwanza mh.Paul Lubongeja akijulikana zaidi kwa jina la Paluma amefariki usiku wa kuamkia leo tarehe 22/11/2014.Mazishi yatafanyika kwao Katunguru.Wananchi wa Mwabaluhi hawatakuwana diwani karibu mwaka mzima.

We ulidhan diwan wa CCM hafi??
 
R.I.P kiongozi mfikishie salam mgimwa mwambie asijali tushawajua wale wezi wake
 
Back
Top Bottom