ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 329
Safi sana... yafe tuWa chama cha mapinduzi ccm
Safi sana... yafe tuWa chama cha mapinduzi ccm
Safi sana... yafe tu
Diwani wa chama gani nijiandae kutuma rambi rambi
Mkuu mimi nakupa RIP ya kwako binafsi ya kuanzia!
Watoto wa marehemu wajiandae kurithi kata hiyo.
Safi sana... yafe tu
Wa chama cha mapinduzi ccm
Apumzike kwa Amani...
Tumepoteza mtu muhimu...
safi sana... Yafe tu
kwenye familia yenu ya matakataka...
Kauli hii inaweza kumlenga baba yako sijui utajisikiaje yakimfika mzazi wako hiyo roho mbaya umeitoa wapi.Safi sana... yafe tu
mungu na akuhukumu
Mkuu kama si kuwa katika majonzi ningekushughulikia nimekuweka kiporo. R.I.P Mapalala